Audio Bible Swahili offline
by Audio Religious Book
The Holy Bible in Swahili is the Old and New Testament. Audio Christian Bible.
App Name | Audio Bible Swahili offline |
---|---|
Developer | Audio Religious Book |
Category | Books & Reference |
Download Size | 8 MB |
Latest Version | 3.1.1523 |
Average Rating | 4.83 |
Rating Count | 673 |
Google Play | Download |
AppBrain | Download Audio Bible Swahili offline Android app |
Biblia ni jina la jumla kwa ajili ya vitabu vitakatifu vya dini ya Uyahudi na hasa ya Ukristo. Neno limetokana na lugha ya Kigiriki ambayo ndani yake βιβλία (biblia) ina maana ya "vitabu" ikiwa ni wingi wa βιβλος (biblos). Hii ni kwa sababu Biblia ni mkusanyo wa maandiko mbalimbali yaliyoweza kutungwa kwa muda wa miaka 1000 hivi.
Hivyo Biblia ni tofauti na vitabu vingine kwa sababu iliandikwa na watu mbalimbali ambao hawakuwa pamoja wala hawakuandika kwa wakati mmoja, lakini vitabu vyote vimekusanywa na kuunda kitabu kimoja cha Biblia. Inasadikiwa na Wayahudi na Wakristo kwamba "Biblia ni kitabu kilichoandikwa na watu kwa uwezo wa Mungu".
Kuchagua kitabu kusikiliza:
AGANO LA KALE
AGANO JIPYA
Recent changes:
Dark mode is here! Switch in settings for comfortable use in the dark. Thank you for using our apps! We would be glad if you share your feedback.
Hivyo Biblia ni tofauti na vitabu vingine kwa sababu iliandikwa na watu mbalimbali ambao hawakuwa pamoja wala hawakuandika kwa wakati mmoja, lakini vitabu vyote vimekusanywa na kuunda kitabu kimoja cha Biblia. Inasadikiwa na Wayahudi na Wakristo kwamba "Biblia ni kitabu kilichoandikwa na watu kwa uwezo wa Mungu".
Kuchagua kitabu kusikiliza:
AGANO LA KALE
AGANO JIPYA
Recent changes:
Dark mode is here! Switch in settings for comfortable use in the dark. Thank you for using our apps! We would be glad if you share your feedback.